• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: October 18th, 2022

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti Mkoani Pwani Mohamed I. Mavura amefanya ziara ya ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo katika Kata za Bungu na Mtawanya.

Akiwa katika Shule ya Msingi Kinyamale iliyopo katika kata ya Bungu, akajionea hali halisi ya ujenzi wa chumba cha darasa na ofisi ya walimu viko katika ngazi ya msingi huku katika kata ya Mtawanya, ujenzi wa darasa moja na ofisi unaendelea katika shule ya Msingi Roja ambapo darasa hilo liko katika hatua ya upauaji.

Mavura  amesema "Ujenzi wa Madarasa uende sambamba na Ofisi za Walimu ili kupunguza changamoto za uhaba wa ofisi pamoja mrundikano wa walimu katika ofisi moja. Vilevile akawataka wasimamizi  wa Miradi  kuhakikisha kuwa wanatumia vizuri rasilimali zilizopo kama ilivyopangwa ili kuweza kufikia malengo na kukamilisha majengo kwa wakati uliopangwa.

Aidha,Mavura ameridhishwa na mradi wa Jengo la Wagonjwa wa dharula katika Hospitali ya Wilaya (EMD ) ambao upo katika hatua za mwisho na kumwagiza Muhandisi ahakikishe kasoro ndogo ndogo zilizopo zinatatuliwa haraka kabla Jengo halijaanza kutumia.

Miradi yote ya shule inaghalimu jumla ya milioni 40, ambapo Kila shule ni milioni 20 wakati Mradi wa Jengo la Wagonjwa wa Dharula ukigharimu takribani  shilingi Milioni 300 za kitanzania.

Katika ziara hiyo ya ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo Mkurugenzi aliambatana na Kassim  Mponda ambaye ni Mhandisi  na Afisa Elimu Msingi  wa Wilaya hiyo Mwalimu Zakayo Mlenduka.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.