• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

VITUO 11 KATI YA 13 VYA KAGULIWA NA MWENYEKITI WA TUME YA UCHAGUZI ASUBUHI YA LEO.

Posted on: July 13th, 2023


Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs C.Mwambegele ametembembea na kukagua vituo vya kupigia kura katika Kata ya Mahege ambayo Leo Julai 13,2023 inafanya uchaguzi mdogo wa Udiwani.

Kata ya Mahege iliyopo Jimbo la Uchaguzi la Kibiti inajumla ya vituo vya kupigia kura 13 vyenye wapiga kura 4,352 ambao wanatarajiwa kupiga kura hii leo.

Akiwa katika ziara hiyo Mhe. Jaji  (Rufaa) Mwambegele amejiridhisha na kushuhudia zoezi la uchaguzi likiendelea salama huku akitoa pongezi kwa Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Kibiti Bw. Hemed Magaro kwa  maandalizi mazuri katika vituo vyote 13 vya kupigia kura.

"Niwapongeze kwa maandalizi mazuri, ni dhahiri kuwa taarifa imewafikia wananchi kwani wamejitokeza vituoni kupiga kura" Alisema Jaji Mwambegele.

"Nimeshuhudia zoezi la upigaji kura Mahege, vituo vimefunguliwa kwa wakati na wananchi wamejitokeza kwa wingi kutumia haki yako ya kikatiba kuchagua kiongozi wanaemtaka", Alisema Jaji Rufaa Mwambegele.

Jaji wa Rufaa Mwambegele alitembelea Vituo vya Nyambwanda, Ofisi ya Mtendaji Kata namba 1, Ofisi ya Mtendaji Kata namba 2, Shule ya msingi Hanga, Zahanati ya Hanga, Mahege shule ya msingi, Tomoni milai, Tomoni shule ya msingi, Nyanjati zahanati, na Nyanjati Ofisi ya Mtendaji Kata. Na vituo 2 ambavyo hawakufika ni kituo cha Saudia na Nyakinyo.

Uchaguzi mdogo wa Udiwani kwa Tanzania Bara unafanyika katika Kata 13.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KANALI KOLOMBO AIPONGEZA MARINE PARKS KUANZISHA MIUNDOMBINU YA KUHIFADHI NA KULINDA MATUMBAWE BAHARINI

    May 10, 2025
  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.