• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

VYUMBA 5 VYA MADARASA KUANZA KUTUMIKA JANUARI KATIKA SHULE YA MSINGI KIASI

Posted on: December 23rd, 2022

VYUMBA 5 VYA MADARASA KUANZA KUTUMIKA JANUARI

Ni katika Shule ya Msingi Kiasi .

Afisa Elimu Msingi Wilaya ya Kibiti Zakayo Mlenduka (DEO-P) ameongoza msafara wa ukaguzi wa vyumba 5 vya madarasa na ofisi ya walimu katika shule ya Msingi kiasi  kata ya Msala vyenye thamani ya tsh.110,000,000 kwa fedha za EP4R na mapato ya ndani.

Katika ziara hiyo baada ya ukaguzi na tathmini ya ujenzi kwa ujumla Afisa Elimu MLenduka amerishishwa na hali halisi ya ujenzi unoendelea ambao mpaka sasa upo katika hatua za mwisho za ukamilishwaji. Pia ameisisitiza mafundi na kamati ya ujenzi kuhakikisha kazi inakamilika kwa muda uliokusudiwa .

Aidha Ujenzi vyumba 2 vya madarasa viko katika hatua ya ukamilishwaji,kazi inayoendelea kwa sasa ni blandalin wakati plasta nje na ndani pamoja na  jamvi vikiwa vimekamilika.

Vilevile Vyumba 3 na ofisi ya walimu viko hatua ya kuweka sakafu zoezi linalofuata ni kujaza mchanga na kishindilia na kazi inaendelea.

Naye Mhandisi wa Wilaya Kassim Mponda(DE) akiwa shuleni hapo amewaagiza mafundi kuongeza kasi zaidi ya ujenzi kwani vifaa vyote vinavyotakiwa vipo na hakuna sababu ya kuchelewesha ujenzi huo.

Pia mkaguzi wa ndani wa Wilaya Richard Mwalonde (DIA) mara baada ya kuwasili shuleni hapo alikagua namna mapato na matumizi yanavyotumika katika ujenzi huo na kujiridhisha huku akisisitiza fedha zilizotolewa zitimike kama ilivyokusidiwa.

Msafara huo pia uliwahusisha kaimu Afisa mipango Amina Lilanga na Afisa Elimu Maalum ambaye pia ni mlezi wa kata ya Msala.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.