• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

WAKULIMA WAOMBWA KUWA WAVUMILIVU NA KUSUBIRI MAJIBU YA SERIKALI KUHUSU MFUMO WA TMX.

Posted on: June 27th, 2024

26.06.2024

Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Meja. Edward Gowele  amewasihi wakulima kuwa wavumilivu wakati Serikali inashughulikia malalamiko ya kuhusu Mfumo wa TMX ili wakulima hao waweze kupata haki zao.

Hayo yamejiri katika Mnada wa 3 wa zao la Ufuta Mkoani Pwani uliofanyika katika Wilaya ya Rufiji, ambapo katika mnada huo wakulima wote walikubali kuuza Ufuta wao kwa bei ya wastani wa sh. 3104.17 kwa kilo huku  Tani 31 kutoka ghala la Misugusugu zikisalia kwa kukosa mnunuzi.

"Niwaombe mkawe wavumilivu wakati tunasubiri majibu ya Waziri mwenye dhamana ambaye tayari  ameitisha kikao na viongozi wa Amcos Dodoma kujadili suala hili, baada ya kikao naamini tutapata majibu sahihi, Serikali yetu ni sikivu itasikia kilio chenu na kuja na majibu ya kutufurahisha". Alisema Meja. Gowele.

Aidha, Meja Gowele amewasisitiza wakulima wote kuhakikisha wanapeleka ufuta kwenye maghala na vyama vya Msingi wakati wakisubiri majibu ya Serikali.

Wakulima wa zao hilo, wameonekana wazi kutoridhika na kuulalamikia mfumo wa TMX ambao unaotumika kwa sasa katika uuzaji wa mazao mbalimbali nchini wakisema unawakwamisha na kuwaumiza kwani suala la mtandao ili kufungua na kuchakata bei ya mnada limekuwa likiwapotezea muda na bei ya mazao katika Mfumo huo imekuwa sio rafiki kwani imekuwa ndogo kuliko matarajio yao.

"Sisi mfumo huu tuliukataa tangu awali kwasababu tulijuwa utatuletea changamoto, tunaomba mturudishie sanduku tulilokwisha kuzoea wakati mkiimarisha mfumo huu, wakulima tunaumia" Walisema Wakulima hao waliofika Mnadani.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.