• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

WASIMAMIZI UCHAGUZI WAPEWA MAFUNZO NA KULA KIAPO CHA KUTUNZA SIRI ZA UCHAGUZI

Posted on: July 10th, 2023



Ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi mdogo wa Udiwani Kata ya Mahege utakaofanyika tarehe 13 Julai, 2023, Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Kibiti Bw. Msena Bina akimwakilisha Msimamizi wa uchaguzi Bw. Hemed Magaro amefungua mafunzo Kwa  Wasimamizi  na Wasimamizi wasaididizi kwa vituo vya kupigia kura leo tarehe 10 Julai, 2023 katika  Shule ya Sekondari Mahege.

Akifungua mafunzo hayo Bw.Bina aliwataka wasimamizi wote kusikiliza kwa makini maelekezo wanayopewa Ili  waweze kuelewa namna ya   kufanya kazi kwa kuzingatia MAADILI kama ilivyoelekezwa na Tume ya Taifa ya uchaguzi.

Vilevile Bw. Bina aliwasisitiza wasimamizi wote kuuliza maswali pale wanapoona hawajaelewa ili kupata uelewa utakaowasaidia kufanya kazi kwa ufanisi katika siku ya uchaguzi.

Hata hivyo Wasimamizi Wasaidizi wa Jimbo la Kibiti Bw. Sudi Kassim,  waliwapitisha wasimamizi hao kupitia mambo mbalimbali yanayotakiwa kufanyika  na kuzingatia wakati wa uchaguzi ikiwa ni pamoja na wajibu,majukumu na taratibu za uchaguzi.

Awali Hakimu wa Mahakama ya mwanzo Bungu Mhe. Ally Mohamed Mtile aliwaongoza wasimamizi hao kula kiapo cha kujitoa uanachama na  kutunza Siri za uchaguzi.


Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.