• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

WATENDAJI WAJAZA MIKATABA YA LISHE

Posted on: October 28th, 2022

Serikali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania imekuwa ikiendelea na mapambano dhidi ya utapiamlo lengo likiwa ni kuifikia jamii na kutokomeza kabisa utapiamlo  wa aina zote nchini ili kuhakikisha kunakuwa na kizazi chenye siha njema.

Hayo yamebainishwa na Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Meja Edward Gowele ambaye alikua akishuhudia kusainiwa kwa mkataba wa lishe baina ya Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Kibiti na watendaji wa kata katika kikao cha tathmini kilichofanyika kwenywe ukumbi wa mikutano wa Mkuu wa wilaya ya kibiti.

Katika mkutano huo Meja Gowele amewaagiza watendaji wa Kata kupitia mkataba huo waliosaini kuhakikisha lishe ni ajenda ya kudumu katika vikao vya kisheria vya kamati ya maendeleo ya kata.

Vilevile Gowele amesema kuwa,lishe bora katika jamii ndiyo kichocheo muhimu katika maendeleo ya jamii kwa ujumla hivyo ikiwa lishe ni duni  athari za Utapiamlo zitakua kubwa hususani kwa kina mama wajawazito na Watoto wenye umri chini ya miaka.

Aidha Gowele amewataka viongozi wa wilaya kuendelea kutoa elimu ya lishe sambamba na kuongeza uhamasishaji katika maeneo ya kilimo na mifugo ili kupata uzalishaji wa vyakula vyenye virutubishi na kuwa na uhakika wa vyakula katika kaya mbalimbali.

Naye Mganga mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti Dr Elizabeth Oming’o alisema ‘kwa upande wa wazalishaji wa chumvi katika maeneo ya delta,vijijini na kwingineko ambako huzalisha chumvi kwa wingi amesema,wataendelea na wanaendelea na zoezi la kutoa elimu ya kuweka madini joto katika bidhaa hiyo, ili kuwaondolea dhana potofu ati kuweka madini joto katika chumvi kunapunguza nguvu za kiume kwa wanaume jambo ambalo halina mashiko kwa ustawi wa jamii’.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.