• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

ZIARA YA KAIMU MKUU WA WILAYA , MKURUGENZI NA WATAALAM KUMTEMBELEA MWEKEZAJI WA KILIMO CHA MPUNGA

Posted on: November 8th, 2022

Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Meja Edward Gowele akiwa ameambatana na Viongozi mbalimbali wa Wilaya wameutembelea  umoja wa wakulima 311 wa kilimo cha mpunga wajulikanao kwa jina la MBAKIAMTURI wenye shamba la ukubwa wa Ekari 15550 katika Kijiji cha Mtunda A Kata ya Mtunda kujionea hali halisi ya uwekezaji katika eneo hilo ambao ni wa kipekee kabisa kuwahi kutokea katika ukanda wa Pwani ya kusini.

Wakiwa shambani hapo jopo la viongozi wa Wilaya lilijionea hali halisi ya uwekezaji  wa wakulima hao waliojikita katika kilimo cha Mpunga , na katika kipindi hiki cha kiangazi walifanya jaribio la kilimo cha  umwagiliaji  ambapo tayari hekari 380 zimelimwa. Jaribio hilo lilikuwa na lengo la kuona kama wanaweza kufanikiwa kulima mara mbili kwa mwaka.

Vilevile Gowele ameziagiza kaya zilizoingia bila kibali katika eneo hilo la lililotengwa kwa ajili uwekezaji na zile zilizopewa kibali cha kuishi kwa muda huku wanafanya shughuli mbalimbali ikiwemo kilimo na ufugaji,  kuhama maramoja katika eneo hilo ili kupisha shughuli za uwekezaji kwani muda wa kuishi huko umekwisha.

Aidha Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya MBAKIAMTURI Khamis Kambanga amesema,katika uwekezaji huo changamoto kubwa wanayokutana nayo ni ukosefu wa banio ,ambalo ni mashine ya kuzuia na kuruhusu maji Kusambazwa shambani kwani msimu huu  walilima  hekari 380 ambazo kwa sasa zimeanza kukauka baada ya ukosefu wa maji baada ya kuharibika kwa machine za kuvuta maji (water pump) walizokuwa wakizitumia awali.

Vilevile Kambaga amesema changamoto nyingine zinazowasumbua ni ukosefu wa barabara za kudumu jambo linalofanya usafiri kuwa mgumu na kusababisha gharama za usafirishaji wa mazao kuwa kubwa pia mazingira ya eneo la uwekezaji kuwa na  mawasiliano ya kusuasua na ya kubahatisha hali inayofanya mawasiliano kuwa magumu mno.

Katika ziara hiyo Mkuu wa Wilaya aliambatana na Katibu Tawala Milongo Sana, Mkurugenzi Mtendaji Mohamed Mavura pamoja na viongozi na wataalamu mbalimbali wa Wilaya hiyo.


Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.